Kwa mujibu wa tovuti ya baraza hilo, wanachama wa baraza hilo, wahadhiri na wanachuo wa chuo hicho wamehudhuria sherehe ya kufunguliwa chuo hicho.
Chuo cha kidini cha al-Ghadir ambacho kimeanzishwa chini ya uenyekiti wa Sheikh Abdul Hussein Satri na usimamizi wa Hujjatul Islam wal Muslimin Ibrahim Swafa kitaendeshwa kwa ushirikiano wa wahadhiri mashuhuri wa masuala ya kidini kwa lengo la kulea na kutoa mafunzo ya kidini kwa wanafunzi walio na hamu ya kunufaika na masomo hayo. 708134