IQNA

Kongamano la "Mada za Kiislamu na Kiarabu katika Interneti' Riyadh

12:57 - December 09, 2010
Habari ID: 2045018
Kongamano la Tatu la Teknolojia ya Mawasiliano chini ya anwani ya, 'Mada za Kiislamu na Kiarabu katika Intaneti" litafanyika Riyadh mji mkuu wa Saudi Arabia.
Kwa mujibu wa gazeti la Ar Riyadh kongamano hilo litafanyika Machi 6-9 mwaka 2011 katika Chuo Kikuu cha Malik Saud mjini Riyadh Saudi Arabia.
Kongamano hilo linafanyika kwa himaya ya Kitivo cha Sayansi na Kompyuta katika Chuo Kikuu cha Malik Saud na lengo lake limetajwa kuwa ni kuchunguza masuala yanayohusu mada za kielektroniki za Kiislamu na Kirabu.
Maudhui zingine zitakazojadiliwa ni pamoja na maktaba ya dijitali ya Kiislamu na Kiarabu, Qur'ani na Hadithi katika intaneti.
709310
captcha