Warsha hiyo imeandaliwa na Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba cha Tehran kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Sayansi za Tiba cha Iran. Mada kuu katika warsha hiyo itahusu masuala ya kiafya katika Qur'ani Tukufu sura al Kahf.
Kuwasilisha maana ya afya kwa katika Qur'ani kwa mtazamo wa kisaikolojia, kifisiolojia, kijamii na kimaanawi katika maisha ya mwanadamu ni mada kuu zitakazojadiliwa kati ya wataalamu watakaoshiriki kikao hicho.
Madaktari na wataalamu watakaoshiriki katika warsha hiyo watatunukiwa shahada za ushiriki.
753949