Katika mahojiano na IQNA, Hujjatul Islam Ali Nasiri amesema tarjumi za Qur'ani zinapaswa kuchunguzwa kwa kina kwa kutumia njia za kisayansi kabla ya kuchapishwa. Amesema, 'hili linawezekana kwa kubuni taasisi husika ya kisayansi'.
Amesema tarjumi za Qur'ani za watu binafsi si fikra nzuri tena. 'Ni bora kuwepo jopo la watarjumi na wataalamu wa sayansi za Qur'ani wanaofahamu Kiarabu na Kifarsi (au lugha nyingine) katika kazi hii'.
786095