Maonyesho hayo yatafanyika kwa shabaha ya kustawisha ushirikiano wa kiuchumi na kuzidisha biashara ya ndani katika soko la kimataifa la Waislamu bilioni 1.6.
Inatazamiwa kuwa maonyesho na mkutano huo vitakuwa fursa nzuri kwa viongozi wa serikali, makampuni mbalimbali, wawekezaji wa kimataifa na wafanyabiashara kutoka nchi mbalimbali dunia kwa ajili ya kuchunguza fursa za uwekezaji wa pamoja katika ulimwengu wa Kiislamu. 786535