Chini ya anuani ya "Uchunguzi wa Tarjumi za Kiingereza za Qur'ani" kikao hicho kitahudhuriwa na Hujjatul Islam Dkt. Ahmad Ahmadi mkuu wa Taasisi ya Utafiti na Uandishi wa Vitabu vya Masomo ya Kijamii ya Vyuo Vikuu vya Iran.
Mshiriki mwingine ni Hujjatul Islam Saberi Mkurugenzi wa Kituo cha Kuratibu Uchapishaji naTarjumi za Vitabu ya Kiislamu.
Kikao hicho kimeandaliwa na IQNA, kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Sayansi na Mafunzo ya Qur'ani.
Kikao cha kwanza katika mfululizo wa vikao hivyo vya kuchunguza tarjumi za Qur'ani kilifanyika Mei 3 na kuhudhuriwa na Dkt. Salar Manafai Anari na Dkt. Hussein Mollanazar.
793988