Kitengo cha Kimataifa katika Maonyesho ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran kinafunguliwa Jumatano ya leo katika hafla itakayohudhuriwa na Waziri wa Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu wa Iran na vilevile mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu.