Hafla hiyo itahudhuriwa pia na wasanii na watarjumi wa Qur’ani kutoka Bangladesh, Pakistan, Afghanistan, Tunisia, Ufilipino, Indonesia, Bosnia, Sudan, Uturuki, Syria, Azerbaijan, Kuwait, Uchina, Lebanon, Kenya na India.
Katika kitengo hicho cha kimataifa, kunafanyika juhudi za kubadilishana mawazo na fikra kati ya wasomi na wataalamu wa Qur’ani kutoka maeneo mbalimbali duniani.
840550