Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha utafiti katika maonyesho hayo Bw. Mohammad Ali Hashemzadeh, watafiti watapata fursa ya kupitia miradi ya utafiti iliyotekelezwa huko nyuma. Amesema wasomi hao wa shahada ya uzamivu watapewa miongozo kuhusu namna ya kuandika makala na tasnifu zao.
Amesema kuna haja ya kutumia marejeo mapya ili kuboresha makala za utafiti. Ameongeza kuwa mada mpya za utafiti pia zitaarifishwa. 839271