Ubao wa inchi 36x54 ni moja kati ya kazi zilizowasilishwa na msanii huo kutoka India katika kitengo cha kimataifa cha maonyesho ya Qur'ani ya Tehran yaliyofunguliwa Agosti 10.
Kazi hii bora ya kisanii ya Qur'ani imeandikwa kwenye ngozi na karatasi kwa kutumia wino na mimea.
Mtaalamu huyo wa sanaa za Kiislamu pia ameandika Bismillah pamoja na sura kadhaa kama vile Baqarah, Yasin na Fatiha.
Jina la Ka'aba, majina ya Allah, Mtume SAW na Ahlul Bayt AS ni kati ya kazi zilizowasilishwa katika maonyesho hayo.
841755