Vilevile vitabu vinavyohusu Uislamu na Ahlul Bait (as) vimewekwa katika maonyesho hayo.
Katika maonyesho hayo ya siku tatu yanayofanyika Bulawayo, Kitengo cha Utamaduni cha Iran kina vyumba viwili kimoja cha maonyesho ya vitabu vinanyohusu Uislamu na kingine kinaonyesha vitabu kuhusu Iran.
Vitabu vya Marehemu Ayatullah Musavi Lari, jografia, historia, utamaduni, sanaa na maendeleo ya Iran ya Kiislamu pia vinaonyeshwa katika maonyesho hayo. 1214175