IQNA

Qiraa ya wasomaji wa Qurani Wairaqi wakiwa wanatumia mbinu ya Lami Maqam + Video

TEHRAN (IQNA)- Wasomaji wawili maarufu wa Qur'ani Iraq, Ali Al Khafafi na Hani al Khazali hivi karibuni wamesambaza klipu wakiwa wanasoma Sura Al Fatiha na Sura Ad Dhuha kwa mbinu ya Lami Maqam

4011709

Kishikizo: iraq ، qiraa ، qurani tukufu ، khafaji ، khazali