iqna

IQNA

IQNA – Ayatullah Mkuu Sayyid Ali al-Sistani, kiongozi wa juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, ametuma salamu za rambi rambi kwa familia za wahanga wa tukio la moto mkubwa uliotokea katika jumba la biashara mjini Kut.
Habari ID: 3480962    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18

IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko kusini kabisa mwa Iraq katika mkoa wa Al-Faw, wakielekea mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3480940    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14

IQNA – Khatibu wa Swala ya Ijumaa jijini Baghdad amesisitiza umuhimu wa kuwachukulia hatua kali waliotekeleza shambulizi dhidi ya ofisi ya Ayatullah Ali Sistani mjini Damascus, mji mkuu wa Syria.
Habari ID: 3480801    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/07

IQNA – Jukwaa la Sayansi ya Qur'ani, linaloendeshwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, limezindua toleo la 9 la mpango wa kitaifa wa Qur'ani.  
Habari ID: 3480766    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31

IQNA – Kituo cha Kitaifa cha Sayansi za Qur'ani, kilicho chini ya Idara ya Waqfu wa Kishia ya Iraq, kinapanga kuandaa kozi za Qur'ani za majira ya kiangazi kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3480668    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11

Turathi
IQNA-Miswada au maandiko ya kale ni hazina muhimu ya urithi wa binadamu. Majumba ya makumbusho, vyuo vikuu na vituo vya utafiti ni sehemu ambazo zimejaa maelfu ya maandiko ambayo yanasaidia kuelewa historia, sayansi, lugha, na sanaa mbalimbali hasa katika ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480523    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

IQNA – Jumla ya vipindi 30 vya Qur’ani Tukufu viliandaliwa kwa ushiriki wa wasomi wa kiwango cha juu wa masuala ya Qur’ani kutoka Iran, katika majimbo mbalimbali ya Iraq wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka huu.
Habari ID: 3480509    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08

Turathi
IQNA-Katika kijiji kidogo cha Gelezerde, pembezoni mwa mji wa Sulaymaniyah, kaskazini mwa Iraq, kuna nakala ya Qur’ani Tukufu (Mus’haf) ambayo haiwezi kupuuzwa – sio tu kwa uzuri wake wa kale, bali kwa thamani yake ya kiroho, kihistoria na kitamaduni.
Habari ID: 3480506    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07

IQNA – Kufuatia hitimisho la hatua ya kwanza ya Tuzo ya 2 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, waandaaji wametangaza wale waliopita hadi awamu ya pili. 
Habari ID: 3480383    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/16

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani kwa vyuo vikuu na vituo vya elimu vya Iraq yamezinduliwa na Idara ya Mfawidhi wa kaburi takatifu la Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480084    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/20

Diplomasia ya Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq sambamba na kuimarisha kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la al-Hashd al-Shaabi.
Habari ID: 3480022    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/09

Harakati za Qur'ani
IQNA – Bunge la Iraq linapanga kutunga sheria zinazolenga kulinda haki za wahifadhi wa Qur’ani, kulingana na spika wa bunge.
Habari ID: 3479975    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/30

Harakati za Qur'ani
IQNA – Sherehe ilifanyika katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, Jumamosi, ili kuwaenzi wahifadhi wengi wa Qur'ani Tukufu. Jumla ya wanaume na wanawake 1,000 walitunukiwa kwenye sherehe kwa ajili ya mafanikio yao ya Qur'ani.
Habari ID: 3479971    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/29

Shughuli za Qur'ani
IQNA – Kituo cha Dar-ul-Quran kinachohusishwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, kinapanga kuandaa matukio mbalimbali kwenye Siku ya Qur’an Tukufu Duniani.
Habari ID: 3479961    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Haram Tukufu ya Hadhrat Al-Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza rasmi mchakato wa usajili wa toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed ya Kusoma Qur’ani.
Habari ID: 3479944    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/23

Qur'ani Tukufu
IQNA - Nakala za Qur'ani iliyoandkwa kwa maandishi ya mtindo wa kaligrafia ya Uthman Taha itachapishw nchini Iraq kwa mara ya kwanza.
Habari ID: 3479886    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/10

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kozi ya Qur'ani Tukufu iliyofanyika kwa wanawake kutoka Mkoa wa Babil wa Iraq ilifikia tamati kwa sherehe iliyofanyika katika mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3479817    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27

Harakati za Qur'ani
IQNA - Programu ya usomaji wa Qur'ani ilifanyika kwenye kaburi la Imam Kadhim (AS) huko Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, Iraq Jumatano.
Habari ID: 3479754    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano
IQNA - Washindi wakuu wa kategoria za qiraa na hifdhi  za toleo la kwanza la Tuzo la Kimataifa la Qur'ani la Iraq walitangazwa. Sherehe za kufunga zilifanyika Alhamisi asubuhi katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad.
Habari ID: 3479750    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/15

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Hatua ya mwisho ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iraq ilifanyika Jumanne huko Baghdad.
Habari ID: 3479747    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/13