IQNA-Mashindano ya 15 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'anI kwa “Wachamungu wa Qur'an wa Iraq” yamehitimishwa kwa heshima kubwa katika Msikiti Mtukufu wa Al-Askari ulioko Samarra, mnamo Jumamosi, tarehe 6 Septemba 2025
Habari ID: 3481192 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/07
IQNA – Msikiti wa kihistoria wa al-Nouri, ulioko katika jiji la Mosul kaskazini mwa Iraq, umefunguliwa rasmi baada ya kukamilika kwa operesheni ya ukarabati.
Habari ID: 3481174 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/02
IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Ki iraq i ya Asaib Ahl Al-Haq, Sheikh Qais Al-Khazali, amesisitiza kuwa kulinda na kuendeleza Hashd al-Sha’abi (Vikosi vya Kujitolea vya Wananchi– PMU) ni takwa la watu wote wa Iraq.
Habari ID: 3481167 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01
IQNA – Mashindano ya Qur’ani yalifanyika kwa ajili ya wanafunzi mahiri waliokuwa wakihudhuria kozi za Qur’ani za majira ya kiangazi zilizoandaliwa na Jumuiya ya Kisayansi ya Qur’ani Tukufu chini ya usimamizi wa Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Abul-Fadhlil Abbas (AS).
Habari ID: 3481166 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/01
IQNA – Mawkib za Kiirani zilitoa huduma kwa zaidi ya watu milioni 22 wakati wa Arbaeen mwaka huu, kulingana na afisa mmoja.
Habari ID: 3481146 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/27
IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen mwaka huu nchini Iraq ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Habari ID: 3481121 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya aya za Qur’ani na ramani za nchi za Kiarabu.
Habari ID: 3481119 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/22
IQNA – Zaidi ya wafanyaziyara milioni tatu kutoka mataifa ya kigeni tayari wameingia Iraq kushiriki katika matembezi ya kila mwaka ya Arubaini, Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo amesema.
Habari ID: 3481057 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09
IQNA – Gavana wa mkoa wa Karbala, Iraq, ametangaza kufanikiwa kuvuruga njama ya kigaidi iliyolenga wafanyaziyara wa Arbaeen katika eneo lake.
Habari ID: 3481054 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/09
IQNA – Mamlaka za Iraq zimezindua maandalizi makubwa ya huduma na usalama, huku mamilioni ya wafanyaziara wakitarajiwa kuelekea Karbala kwa ajili ya matembezi ya Arbaeen.
Habari ID: 3481038 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/04
IQNA – Ofisi ya kiongozi mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullah Ali al-Sistani, imetoa tamko la kuzuia taasisi za kisiasa na za huduma kutumia picha yake katika maeneo ya wazi, hasa wakati wa hija ya Arbaeen inayokaribia.
Habari ID: 3481037 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/04
IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
Habari ID: 3480995 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/25
IQNA – Ayatullah Mkuu Sayyid Ali al-Sistani, kiongozi wa juu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, ametuma salamu za rambi rambi kwa familia za wahanga wa tukio la moto mkubwa uliotokea katika jumba la biashara mjini Kut.
Habari ID: 3480962 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/18
IQNA – Hijra ya Arbaeen ya mwaka 1447 Hijria imeanza rasmi, huku maelfu ya mahujaji wakiianza safari yao kwa miguu kutoka eneo la Ras al-Bisheh, lililoko kusini kabisa mwa Iraq katika mkoa wa Al-Faw, wakielekea mji mtakatifu wa Karbala.
Habari ID: 3480940 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/14
IQNA – Khatibu wa Swala ya Ijumaa jijini Baghdad amesisitiza umuhimu wa kuwachukulia hatua kali waliotekeleza shambulizi dhidi ya ofisi ya Ayatullah Ali Sistani mjini Damascus, mji mkuu wa Syria.
Habari ID: 3480801 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/07
IQNA – Jukwaa la Sayansi ya Qur'ani, linaloendeshwa na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, limezindua toleo la 9 la mpango wa kitaifa wa Qur'ani.
Habari ID: 3480766 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/31
IQNA – Kituo cha Kitaifa cha Sayansi za Qur'ani, kilicho chini ya Idara ya Waqfu wa Kishia ya Iraq, kinapanga kuandaa kozi za Qur'ani za majira ya kiangazi kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3480668 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/11
Turathi
IQNA-Miswada au maandiko ya kale ni hazina muhimu ya urithi wa binadamu. Majumba ya makumbusho, vyuo vikuu na vituo vya utafiti ni sehemu ambazo zimejaa maelfu ya maandiko ambayo yanasaidia kuelewa historia, sayansi, lugha, na sanaa mbalimbali hasa katika ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480523 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
IQNA – Jumla ya vipindi 30 vya Qur’ani Tukufu viliandaliwa kwa ushiriki wa wasomi wa kiwango cha juu wa masuala ya Qur’ani kutoka Iran, katika majimbo mbalimbali ya Iraq wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka huu.
Habari ID: 3480509 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08
Turathi
IQNA-Katika kijiji kidogo cha Gelezerde, pembezoni mwa mji wa Sulaymaniyah, kaskazini mwa Iraq, kuna nakala ya Qur’ani Tukufu (Mus’haf) ambayo haiwezi kupuuzwa – sio tu kwa uzuri wake wa kale, bali kwa thamani yake ya kiroho, kihistoria na kitamaduni.
Habari ID: 3480506 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07