iraq

IQNA

IQNA – Kufuatia kuanza kwa uratibu mpana kati ya taasisi za Iraq na Iran, Iraq inajitayarisha kuandaa misafara ya mazishi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Shahidi Ayatullah Seyed Ali Khamenei katika miji mitakatifu ya Najaf na Karbala.
Habari ID: 3482419   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/29

IQNA – Mamilioni ya waombolezaji mjini Karbala wameshiriki adhuhuri ya Ijumaa ya Ashura katika msafara mkubwa na wa kihistoria wa Rakdhat Tuwairij.
Habari ID: 3482410   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/27

IQNA – Baba na mwanae kutoka Misri waliokuwa washiriki katika Tuzo ya Qur’ani ya Al Ameed nchini Iraq wamekuwa miongoni mwa waliopata nafasi za juu katika shindano hilo la kimataifa la usomaji wa Qur’ani.
Habari ID: 3482368   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/16

IQNA – Makumbusho ya Hazina na Miswada ya Al‑Kafeel, yaliyo ndani ya Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, yameweka hadharani Rehal ya mbao ya Msahafu iliyotegenezwa kwa ustadi wa hali ya juu.
Habari ID: 3482367   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/16

IQNA – Huku mwezi wa Muharram katika kalenda ya Hijria ukiwa umeingia, vikosi vya jeshi la Iraq vimeongeza kiwango cha utayari na doria ili kuhakikisha usalama wa misafara na mijumuiko maombolezo.
Habari ID: 3482366   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/16

IQNA – Hafla tukufu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu iliandaliwa mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Haram Takatifu ya Al-Askari iliyoko Samarra, nchini Iraq.
Habari ID: 3482341   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/09

IQNA – Idara ya Mfawidhi au Msimamizi wa wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, Jumapili imetangaza kuanza kwa shughuli za Wiki ya 15 ya Kimataifa ya Ghadir.
Habari ID: 3482309   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/01

IQNA – Kozi ya kwanza ya mtandao kuhusu sayansi ya Qur’ani, iliyohudhuriwa na wanafunzi kutoka nchi mbalimbali, imehitimishwa nchini Iraq.
Habari ID: 3482277   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/24

IQNA – Jopo la Kisayansi la Qur’ani Tukufu limefanya mkutano uliowakutanisha walimu wa mradi wa hifdhi ya Qur’ani wa jopo hilo kwa ajili ya kuchunguza mbinu na mikakati ya kuuboresha mradi huo mjini Baghdad, Iraq.
Habari ID: 3482204   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/05

IQNA – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Ali al‑Sistani, amepongeza uzinduzi wa toleo la kwanza la Mus’haf wa Najaf, chini ya usimamizi wa Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS).
Habari ID: 3482182   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30

IQNA-Rais wa Iraq, Nizar Amedi, ambaye amechaguliwa hivi karibuni, ametangaza rasmi kumteua Ali al Zaidi kuwa waziri mkuu mteule wa nchi hiyo na kumpa jukumu la kuunda serikali ijayo.
Habari ID: 3482175   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/28

IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, alisoma aya za Surah Ar‑Ra‘ad katika duru ya mwisho ya toleo la tatu la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Al‑Ameed lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482151   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/19

Msomi wa Qur’ani Iraq
IQNA – Mwanazuoni na mhadhiri wa Kiiraq anayehusika na masomo ya Qur’ani amesisitiza athari chanya zilizotokana na kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam  SayyidAli Khamenei, katika kuimarisha harakati za mapambano ya Kiislamu katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3482132   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/09

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru na kuthamini misimamo ya msingi ya wanazuoni wakuu wa kidini na wananchi wa Iraq.
Habari ID: 3482104   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30

IQNA – Msemaji wa harakati ya muqawama ya Iraq, al‑Nujaba, ameeleza mapambano yanayoendelea katika eneo la Asia Magharii kuwa ni mvutano kati ya nguvu za ukafiri na mhimili wa heshima na utukufu.
Habari ID: 3482066   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/17

IQNA – Qari kutoka Iraq, Indonesia na Afghanistan walishiriki katika siku ya nane ya toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed, inayofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3482005   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA – Majina ya washiriki waliofanikiwa kufuzu katika kipengele cha vijana (chini ya umri wa miaka 16) katika toleo la tatu la Mashindano ya Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al‑Ameed nchini Iraq yametangazwa.
Habari ID: 3481938   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/15

IQNA – Mutawalli wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) amesisitiza kuwa kulea na kukuza haiba au shakhsia ya Kiislamu kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu ni msingi wa kujenga jamii kamilifu na yenye fadhila.
Habari ID: 3481935   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/14

IQNA – Qari au Msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, ameibuka mshindi wa kwanza katika toleo la tatu la Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, lililofanyika nchini Iraq.
Habari ID: 3481902   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/08

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameisifu Iraq kwa kuwapokea mahujaji wa Kiirani wanaosafiri kuelekea nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3481819   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/19