IQNA

Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Minshawi akisoma aya za Surah Qaf

IQNA- Ifuatayo ni qiraa (kisomo) ya aya za 31-34 za Surah Qaf zikisomwa na qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Muhammad Siddiq Minshawi.
Kishikizo: Minshawi