Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani haitaweza kuvunja mapambano na muqawama wa taifa la Iran kwa kuweka vizingiti vya kununua na kudhamini dawa na chakula.
Habari ID: 3473244 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/09