iqna

IQNA

Umuhimu wa Qur'ani Tukufu
Makao makuu ya Shirika la Kielimu, Sayansi, na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ICESCO) yaliandaa Semina ya kwanza ya Kimataifa iliyopewa jina la "Qur'ani na Magharibi: Kuelekea Njia ya Kimakini" mnamo Jumanne, Julai 9, 2024, mwaka huu.
Habari ID: 3479101    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameutaja msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu mkabala wa wanaodai kinafiki kuwa wanatetea haki za wanawake wa Kimagharibi kuwa ni wa kudai na kuhujumu na akasema kuwa, Magharibi ya kisasa na utamaduni ulioporomoka wa Magharibi vina hatia katika suala hili na wametenda makosa na uhalifu dhidi ya utu na hadhi ya mwanamke.
Habari ID: 3476358    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04