iqna

IQNA

IQNA – Kundi moja la kutetea haki za binadamu nchini Marekani limelaani shambulio la kikatili lililotokea hivi karibuni dhidi ya kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Habari ID: 3481017    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/30

Waislamu Afrika
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya Waislamu waliyoyakimbia makazi yao katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ghasia na machafuko, wanataabika na kuteseka katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476791    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31

Jinai za Daesh
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS) lilidai kuhusika na shambulio la bomu katika kanisa moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) siku ya Jumapili.
Habari ID: 3476413    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16