Hivi Wakristo duniani wanaadhimisha siku ya kuzaliwa Nabii Isa AS. Mamia ya mamilioni ya Wakristo duniani katika makundi yao tofauti wanaadhimisha kuzaliwa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu, rehema za Allah ziwe juu yake na mama yake mtoharifu.
Habari ID: 2638287 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/27