iqna

IQNA

Jumuiya na taasisi mbalimbali za kimataifa na kiraia zimeendelea kulaani mauaji yaliyofanywa Alkhamisi iliyopita na kundi la kigaidi la al Shabab dhidi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya.
Habari ID: 3099045    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/06