iqna

IQNA

arubaini
KARBALA (IQNA) – Katika kampeni ya kuheshimu Qur’ani Tukufu, makumi ya wafanyaziyara wa Arubaini waliandika aya za kitabu hicho kitukufu wiki iliyopita.
Habari ID: 3477586    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/12

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yamewekwa kwenye barabara kati ya miji mitukufu ya Najaf na Karbala nchini Iraq wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3475761    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa hapa Tehran amegusia mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA, na kuziasa nchi za Ulaya kukumbatia fursa iliyopo ya kufidia na kusahihisha makosa yake mkabala wa mapatano hayo ya kimataifa.
Habari ID: 3475722    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/02

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitizia kwamba harakati hiyo daima imekuwa bega kwa bega na watu wanaodhulumiwa katika eneo la Asia Magharibi wakiwemo wa Yemen, Iraq na Afghanistan.
Habari ID: 3475666    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

TEHRAN (IQNA)-Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) imelaani vikali hujuma ya askari wa Nigeria dhidi ya matembezi ya amani ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS Jumanne katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja.
Habari ID: 3474363    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30

Polisi Nigeria jana Jumanne iliwashambulia waombolezaji waliokuwa katika marasimu ya siku ya arobaini ya mjukuu wa Mtume wa Uislamu, Imam Hussein AS na kuuwa shahidi Waislamu wasiopungua wanane.
Habari ID: 3474361    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Sambamba na siku za Arubaini ya Imam Hussein AS, wasomaji Qur’ani Tukufu katika ngazi ya kimataifa wameshiriki katika vikao vya kusoma Qur’ani ambavyo vimeandaliwa na Shirika la Habari la IQNA chini ya kaulimbiu ya ‘Ya Hussein katika Mazingira ya Qur’ani’.
Habari ID: 3474357    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA)- Waislamu katika eneo la Matondoni, kaunti ya Lamu nchini Kenya leo wameshiriki katika matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474356    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Kimataifa la ‘Arubaini, Umaanawi na Fadhila za Kiakhlaqi’ limefanyika katika mji wa Karbala.
Habari ID: 3474354    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Waombolezaji, aghalabu wakiwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia, kutoka Iraq na mataifa mengine duniani wakiwa katika matembezi ya kuelekea Karbala kwa ajili ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474351    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa mkoa wa Karbala nchini Iraq wamesema kuwa, takwimu za awali zinaonesha kwamba wafanya ziara ya Arubaini ya Imam Husain AS mwaka huu katika Haram ya mtukufu huyo ni zaidi ya watu milioni 14.
Habari ID: 3474347    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27

TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelefu ya waombolezaji, aghalabu wakiwa ni Waislamu wa madhehebu ya Shia, kutoka Iraq na mataifa mengine duniani wamefika au wanaelekea Karbala kwa ajili ya kumbukumbu ya Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474333    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24

TEHRAN (IQNA)- Kituo kimoja cha Qur’ani nchini Iraq kinatoa mafunzo ya qiraa sahihi ya Qur’ani tukufu kwa wanaoshiriki katika matembezi na ziara ya siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3474322    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

TEHRAN (IQNA)- Iraq imeafiki kuwaruhusu Wairini 60,000 kushiriki katika ziyara na mjumuiko wa siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS mwaka huu.
Habari ID: 3474292    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13

TEHRAN (IQNA)- Awamu ya 5 ya Kongamano la Kimataifa la Arubaini ya Imam Hussein AS limefanyika kwa muda wa siku mbili mjini Karbala Iraq.
Habari ID: 3474291    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13

Katika Mkutano wa Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na waandishi wa habari akiwa pamoja na Waziri Mkuu wa Iraq kwamba, idadi ya wafanya ziara wa Iran katika Arubaini ya Imam Husain AS itaongezwa mwaka huu.
Habari ID: 3474287    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

TEHRAN (IQNA) - Wairaki zaidi ya milioni moja wamewasili katika Haram ya Imam Husain AS huko Karbala kuwawakilisha mamilioni ya wapenzi wa Watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume Muhammad SAW ambao mwaka huu wameshindwa kwenda Iraq kushiriki kumbukumbu hizo kutokana na corona.
Habari ID: 3473241    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/08

TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amezungumza katika mkesha wa Siku ya Arubaini ya Imam Hussein AS na kukumbusha kuhusu jinai za mtawala wa zamani wa Iraq, Saddam, dhidi ya wafanyaziara wa Siku ya Arubaini.
Habari ID: 3473240    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa iwapo vijana watasimama kidete katika njia iliyonyooka na ya haki, basi wataweza kuleta mabadiliko katika taifa la Iran na dunia nzima kwa ujumla.
Habari ID: 3472180    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/19

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesisitiza kuwa, uwepo wa mamilioni ya watu mjini Karbala ni jambo lisilo na mfano katika historia na kwamba Marekani, utawala haramu wa Kizayuni, mabeberu na madhalimu wa dunia wanahisi hofu kubwa kwa kushuhudia matembezi ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Hussein AS
Habari ID: 3472179    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/19