IQNA – Wapalestina wanaendelea kushiriki katika Swala za jamaa katika Msikiti wa Al-Aqsa katika jiji takatifu la al-Quds kwa wingi wakati wa Ramadhani licha ya vizuizi vinavyowekwa na utawala dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3480443 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/26
Mtazamo
IQNA – Msomi na mwandishi mashuhuri wa ulimwengu wa Kiarabu amekosoa kuibuka kwa jambo linalojulikana kama ‘misikiti ya chini ya ardhi’ katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3480254 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22
Swala
IQNA – Wakikabiliwa na kuchelewa kwa mvua kunyesha, wananchi wa Jordan walikusanyika katika misikiti kote nchini kutekeleza Swala ya Al-Istisqa (Swala ya Kuomba Mvua), wakiomba rehema za Mwenyezi Mungu ikiwa ni katika kufuata Sunna ya Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3479805 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25
Nidhamu katika Qur’ani/ 10
IQNA - Msingi wa utaratibu katika maisha ya Muislamu ni kumwabudu Mwenyezi Mungu na ndiyo maana kuswali swala tano za kila siku humsaidia mja kupanga shughuli zake za kila siku.
Habari ID: 3478788 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/07
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika maeneo mbali mbali duniani wameshiriki katika Swala ya Idul Adha huku swala hiyo ikiwa imeathiriwa pakubwa na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473019 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31
Darul Iftaa ya Jordan
TEHRAN (IQNA) – Darul Iftaa ya Jordan imetoa fatwa inayowapiga marufuku wagonjwa wa COVID-19 au corona kushiriki katika swala za jamaa.
Habari ID: 3472932 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05
TEHRAN (IQNA) –Zaidi ya Waislamu 30,000 wameshiriki katika Swala ya Ijumaa katika msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) huku wakizingatia kanuni za afya zilizowekwa na idara ya wakfu mjini humo kwa lengo la kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472903 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/27
TEHRAN (IQNA) –Serikali ya Nigeria imeruhusu misikiti na maeneo mengine ya ibada kufunguliwa nchini humo lakini kwa masharti maalumu huku zuio la COVID-19 likianza kupunguza.
Habari ID: 3472839 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Palestina katika Ukanda wa Ghaza imesema misikiti ya eneo hilo itafunguliwa tu kwakati wa Swala wa Ijumaa na kwa kuzingatia kanuni za afya za kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472811 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuna haja ya kufanyika hima na juhudi za kuifahamu na kuitambulisha Swala katika nafasi yake inayostahiki na amali za mtu binafsi ziendane nayo.
Habari ID: 3470727 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/09
Mufti Mkuu wa Quds
Mufti Mkuu wa Palestina ametoa wito wa kuhukumiwa wakuu wa wutawala wa Kizayuni wa Israel katika duru za kimataifa.
Habari ID: 3335935 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/27