iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Kwa muda wa takribani miezi miwili mtaa wa al Mosara katika mji wa Awamiyah nchini Saudi Arabia umekuwa chini ya mzingiro wa wanajeshi ambao wametekeleza uharibifu mkubwa na kuwaua raia kadhaa.
Habari ID: 3471060    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10