IQNA

Majina ya kidini yatia fora kwa watoto waliozaliwa mwaka 2008 nchini Uturuki

17:06 - March 04, 2009
Habari ID: 1751843
Majina ya Zainab na Yusuf yameongoza kati ya majina yaliyotolewa kwa watoto waliozaliwa mwaka 2008 nchini Uturuki.
Mwandishi wetu nchini Uturuki ameripoti kuwa katika mwaka uliopita wa 2008 familia nyingi za Uturuki ziliwachaguliwa watoto wa kiume jina la Yusuf na watoto wa kike jina la Zainab.
Majina ya Arda, Mustafa, Muhammad na Ahmad yalishika nafasi zilizofuata baada ya jina la Yusuf. 371767
captcha