Taasisi hiyo metangaza kuwa, sharti la kushiriki katika mashindano hayo ni kuwa na uraia wa Oman. Imeongeza kuwa, kutokuwa mashuhuri kwa wasomaji na vilevile kutoshinda zawadi za kimataifa na kitaifa za usomaji na uhifadhi wa Qur'ani ni masharti mengine ya kushiriki katika mashindano hayo.
Mashindano hayo yatafanyika kwa utaratibi ufuatao; kuhifadhi Qur'ani nzima, juzuu 24, juzuu 18 uzuu 12 na juzuu 6 ambapo zote zitatakiwa kuhifadhiwa kwa mbinu ya tajweed.
Washiriki wanapasa kuwa wamesajili majina yao kufikia tarehe 26 Juni katika misikiti ya Ijumaa ya Sultan Qabus kote nchini humo. Utangulizi wa mashindano hayo utazinduliwa tarehe 4 Julai na mashindano yenyewe kumalizika tarehe18 Julai. 389123