Kwa mujibu wa Ja'afar Abdulsalam Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vyuo Vikuu vya Kiislamu, kongamano hilo litahudhuriwa na zaidi ya wasomi 100 Waislamu na Wakristo kutoka sehemu mbali mbali duniani.
Ameongeza kuwa: "Mada kuu ya kongamano la Cairo itakuwa ni "Umoja au Upweke wa Mwenyezi Mungu" nayo mada ya pili itakuwa, "Mafunzo ya Kiislamu katika Ulimwengu wa Magharibi".
643167