Katibu Mkuu wa Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni ISESCO Dr Abdulaziz Othman al Tuwaijri ametoa ujumbe kwa mnasaba wa kukaribia mwaka mpya wa Hijria Qamariya na kuwataka Waislamu duniani kote wawe na umoja na mshikamano zaidi ili waweze kukabiliana na vitisho vya maadui.