Gazeti la Times of India limemnukuu Naibu Naibu Mwanasheria Mkuu wa Pakistan Naveed Inayat Malik akisema kuwa Jumuiya ya Mawasiliano na Wizara ya Teknolojia ya Pakistan zimechukua hatua ya kufunga vituo vyote vya intaneti vinavyovunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
Ameongeza kuwa serikali imeunda kamati maalumu ya kusimamia vituo vya intaneti.
Mkuu wa Mahakama Kuu ya Pakistan Ijaz Choudary amesema kamati hiyo ya serikali inawajibika kutoa ripoti kwa Mahakama Kuu kuhusu shughuli na kazi zake. 756618