Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kiislamu la Elimu, Sayansi na Utamaduni ISESCO Dr. Abdulazizi Othman Altwaijri atashiriki katika Kikao cha Kimataifa ya Mazungmumzo Baina ya Tamaduni kitakachofanyika Baku, mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan kati ya Aprili 7-9.