Uamuzi huo umechukuliwa katika kikao cha 21 cha wanachama wa Baraza la Idara la Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu kilichofanyika jana nchini Saudi Arabia.
Miongoni mwa maudhui kuu zilizojadiliwa katika mkutano huo ni pamoja na kuchunguza matumizi ya Baraza la Idara la Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika mwaka 1431 Hijria, suala la kuundwa Baraza la Ushauri la masheikh wa makarii na kupasisha ripoti ya kila mwaka ya Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu. 790811