Washiriki katika kikao cha viongozi wa kidini nchini Ufaransa wametoa taarifa wakilaani vitendo vya baadhi ya wagombea urais wa nchi hiyo vya kutumia vibaya masuala ya kidini katika kampenzi zao. taarifa hiyo imetiwa saini na viongozi wa dini za Kikristo, Uislamu, Uyahudi na Budha.