IQNA

Kongamano la Qur'ani na Ahlul Bait lafanyika Pakistan

18:59 - July 02, 2012
Habari ID: 2359443
Maulamaa na wasomi wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia jana Jumapili walishiriki katika kongamano la Qur'ani na Ahlul Bait (as) ambako walichunguza mwamko wa Kiislamu na hali ya sasa ya Mashia.
Katika kongamano hilo wasomi na wanazuoni wa Kishia walichunguza malengo ya kisiasa ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na kutoa mitazamo yao kuhusu suala hilo.
Kongamano hilo lilisimamiwa na Baraza la Umoja wa Waislamu la Pakistan katika jengo la kihistoria la Minar Pakistan mjini Lahore. 1043322

captcha