Mashindano hayo ambayo yameandaliwa na Madrasa ya Nyota yatahudhuriwa na wanafunzi 400 ambao watagawanywa katika makundi mawili ya wanawake na wanaume. Washindani watachuana kusoma na kuhifadhi aya na sura za Qur'ani Tukufu katika mashindano hayo ambayo yamepangwa kuanza kesho saa tatu asubuhi kwa wakati wa Afrika Mashariki na kumalizika kabla ya swala ya adhuhuri. 1058097