Mkuu wa taasisi ya Ushirikiano wa Kiislamu wa Kimataifa ya Malaysia Zahidi Zainul Abidin amesema kuwa mkutano huo utakaoshirikisha taasisi za kiraia utafanyika hivi karibuni.
Amesema kuwa lengo la mkutano huo ni kuunda makundi ya kutangaza maafa yanayowasibu Waislamu wa Myanmar.
Amesisitiza kuwa mkutano huo utakuwa hatua muhimu katika njia ya kuondoa hali ya kisikitisha ya Waislamu wan chi hiyo. 1058338