Kikao hicho kitakachoanza jioni kitachunguza kanuni za uandishi wa nakala za Qur’ani Tukufu. Vilevile kikao hicho kitawaenzi waandishi hodari wa nakala za Qur’ani ambao wamefanya jitihada kubwa katika uwanja huo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran yalianza tarehe 15 Julai na yatamalizika tarehe 14 Agosti. 1074145