Kitengo hicho kimetangaza kuwa mahafali hiyo ya kufarijika na Qur'ani huanza mara tu baada ya kusimamishwa swala za Adhuhuri na Alasiri.
Ripoti hiyo inasema kuwa nukta ya kuvutia katika mahafali hiyo ni kuona watu wa mataifa mbalimbali wakikusanyika pamoja kwa ajili ya kusoma kitabu hicho cha wahyi wa Mwenyezi Mungu.
Inasema jambo jingine la kuvutia ni kuona idadi kubwa ya wafanyaziara wa Iran wakishiriki kwa hamu kubwa katika mahafali hiyo. 1077903