iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wanaume wawili Waislamu kutoka mji wa Tetova nchini Albania hivi sasa wako safarini kuelekea katika mji mtakatifu wa Makka kutekeleza ibada ya Hija kwa baiskeli.
Habari ID: 3471590    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/11

TEHRAN (IQNA)- Afisa wa ngazi za juu wa masuala ya Hija katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa wale waliopanga kutekeleza ibada ya Hija wajitayarishe kikamilifu ili wanufaike kikamilifu na fursa hii nadra katika maisha ya Mwislamu.
Habari ID: 3471587    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/08

TEHRAN (IQNA)-Mahakama moja nchini Saudi Arabia imesema Shirika la Ujenzi la Binladin halina hatia na haliwezi kubebeshwa dhima ya kuanguka winchi (crane) katika Msikiti Mtakatifu wa Makka wakati wa msimu wa Hija mwaka 2015.
Habari ID: 3471203    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/03

TEHRAN (IQNA)-Mahujaji kutoka Marekani, Uingereza na Canada walioshiriki katika Ibada ya Hija wamebainisha wasiwasi wao kuhusu sera za chuki dhidi ya Waislamu za Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3471154    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03

TEHRAN (IQNA)-Mwanamfalme Khalid al Faisal ambaye ni amiri wa mji mtakatifu wa Makka amewataja Wairani kuwa ndugu wa kidini wa watu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3471153    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03

Kiongozi Muadhamu katika Ujumbe kwa Mahujaji
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei leo ametoa ujumbe kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471150    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/31

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Mahujaji mwaka ni 410,000 zaidi ya waka uliopita huku Waislamu kutoka kila kona ya dunia wakiwa katika mji mtukufu wa Makka kutekeleza ibada hiyo ya kila mwaka.
Habari ID: 3471148    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/29

TEHRAN (IQNA)-Bi. Baiq Mariah kutoka Indonesia ametmabuliwa kuwa Hujaji mwenye umri wa juu zaidi mwaka huu.
Habari ID: 3471144    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/27

TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kimataifa la Hija linafanyika Agosti 26-27 katika mji takatifu wa Makka ambapo wanazuoni wa Kiislamu kutoka mabara yote duniani wanashiriki.
Habari ID: 3471143    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/26

TEHRAN (IQNA)-Kila mwaka mamilioni ya Mahujaji kutoka kila kona ya dunia humiminika katika Mji Mtakatifu wa Makka kwa ajili ya Ibada ya Hija.
Habari ID: 3471138    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/23

TEHRAN (IQNA)- Hatimaye baada ya mashinikizo, Saudi Arabia imeafiki kufungua mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar kuruhusu mahujaji kutoka nchi hiyo kuelekea kwenye ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.
Habari ID: 3471128    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/18

TEHRAN (IQNA)-Mabuddha nchini Myanmar wamewazuia Waislamu 21 wa kabila la Rohingya kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3471117    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/10

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Trinidad na Tobago wametoa wito kwa wasimamizi kwa mamlaka ya viwanja wa ndege nchini humo ichukue hatua za dharura za kuwaandalia Mahujaji chumba maalumu cha kusali.
Habari ID: 3471113    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471094    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30

TEHRAN (IQNA)-Raia 6,000 wa Kenya wanatazamiwa kushiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470917    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/04

TEHRAN (IQNA)-Wairani zaidi ya 85,000 wanatazamiwa kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu kufuatia mapatano baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia.
Habari ID: 3470899    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/18

IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejibu mwaliko rasmi uliotumwa na Saudi Arabia kuhusu kushiriki katika mazungumzo kujadili kadhia kushiriki tena Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470801    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/18

Ufalme Saudi Arabia umeiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazungumzo kuhusu kuwawezesha tena Wairani kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3470766    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/30

Nyaraka za Siri
Huku Saudi Arabia ikijaribu kudai kuwa Ibada ya Hija iliandaliwa kwa mafanikio mwakubwa mwaka huu bila tatizo lolote, ripoti iliyovuja inaonyehsa kuwa mahujaji zaidi ya 800 walifariki wakati wa Hija.
Habari ID: 3470571    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19

Balozi wa Uingereza nchini Saudi Arabia, Simon Collis, ametekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusilimu.
Habari ID: 3470563    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/14