TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, ibada ya Hija mwaka huu itafanyika kwa kushirikisha raia na wageni wanaoishi nchini humo wasiozidi elfu 60.
Habari ID: 3474001 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13
TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Hilali Nyekundi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yamkini Iran ikatuma mahujaji wasiozidi 2,000 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3473970 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia inatafakari kuwazuia Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo kwa mwaka wa pili mfululizo kufuatia ongezeko la aina mpya ya virusi vya corona.
Habari ID: 3473881 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/06
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Hija na Umrah nchini Saudi Arabia amefutwa kazi leo ijumaa miezi kadhaa kabla ya ibada ya hija kufanyika.
Habari ID: 3473729 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/12
TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa afya nchini Saudi Arabia wametangaza kuwa kila Mwislamu ambaye anapanga kutekeleza Ibada ya Hija ni sharti athibitishwe kuwa amepata chanjo dhidi ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473695 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/02
TEHRAN (IQNA) – Benki moja ya Kiislamu nchini Nigeria imezindua mpango wa kuwahimiza Waislamu kuweka akiba ya fedha za kutumika kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija ambayo ni katika nguzo za Uislamu.
Habari ID: 3473677 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23
TEHRAN (IQNA) –Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ibada ya Hija ni wajibu kwa kila Mwislamu mwenye uwezo wa kifedha na kiafya.
Habari ID: 3473031 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04
TEHRAN (IQNA) – Mwaka huu janga la corona au COVIDI-19 limepelekea ibada Hija iwe tafauti na pia sherehe za Idul Adha kote duniani zimetafuatiana na miaka iliyopita. Hatua za kupunguza idadi ya mahujaji na kuweka vizingiti katika sherehe za Idi zimechukuliwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3473027 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03
TEHRAN (IQNA) – Kupunguzwa kwa kiasi kikubwa idadi ya Waislamu waliotekeleza ibada ya Hija mwaka huu kumeathiria vibaya sana uchumi wa Somalia ambapo hutegemea uuzaji wa mamilioni ya mifugo nchini Saudia wakati wa Hija.
Habari ID: 3473022 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wameanza kutekeleza ibada katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3473014 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Katika matukio ya sasa ya Marekani na harakati ya kupinga ubaguzi wa rangi iliyopo, msimamo wetu thabiti ni wa kuwaunga mkono wananchi na kulaani mwenendo wa kikatili wa utawala wa ubaguzi wa rangi wa nchi hiyo."
Habari ID: 3473011 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija wamewasilia katika mji mtakatifu wa Makka kutoka maeneo mbali mbali ya Saudi Arabia huku kukiwa na hatua kali za kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3473007 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wamewasili katika mji mkuu wa Makka, kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3473003 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Saudia wamesema Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al-Masjid Al-Ḥaram, hautafunguliwa wakati wa Swala wa Idul Adha mwaka huu kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472991 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23
TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika mjini Makka Jumapili kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Dhul Hija ambao ni mwezi wa kutekeleza Ibada ya Hija.
Habari ID: 3472988 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itaweka faini kali na vifungo vya jela kwa watu na mashirika ambayo yatawasafirisha mahujaji wasio na kibali cha Hija.
Habari ID: 3472983 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa ufalme wa Saudi Arabia wametangaza protokali na kanuni za kiafya zitakazotumika katika ibada ya Hija mwaka huu ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472934 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
TEHRAN (IQNA) – Msomi na mhadhiri wa chuo kikuu nchini Kuwait ameibua utata katika mitandao ya kijamii baada ya kusema hatua ya Saudia wa kupunguza idadi ya mahujaji mwaka huu itaubadilisha Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid al Haram, kuwa sawa na jumba la makumbusho.
Habari ID: 3472898 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amepongeza uamuzi wa Saudi Arabia wa kupunguza kabisa idadi ya mahujaji na kuwazuia mahujaji wa kimataifa kuingia nchini humo.
Habari ID: 3472897 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Iran amesema wairani ambao walikuwa wamejisajili kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu watahiji mwakani, Inshallah, baada ya Saudia kutangaza kufuta ibada ya Hija mwaka huu kwa wasafiri wa kimataifa.
Habari ID: 3472894 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24