hija - Ukurasa 6

IQNA

Hija
IQNA - Mpango umezinduliwa nchini Saudi Arabia ili kuimarisha na kuboresha ujuzi wa wafanyakazi wanaohudumia waumini wanaoshiriki ibada za Hija  na Umrah.
Habari ID: 3478815    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/13

Hija
IQNA- Matumizi ya teksi zinazoruka na ndege zisizo na rubani kwa ajili ya kuwasafirisha Mahujaji yatafanyiwa majaribio katika msimu wa Hija wa mwaka huu.
Habari ID: 3478804    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/12

Hija na Qur'ani
IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu hivu karibuni amekutana na wajumbe wa msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran, akawausia kuwahimiza Mahujaji kutafakari aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3478799    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/10

Amir Hossein Anwari, qari wa Qur'ani katika Msafara wa Nur wa Hija ya 1445, alisoma aya za 197 hadi 199 za Surah Al-Baqarah na Surah Nasr wakati wa mkutano wa maafisa wasimamizi wa Hija nchini Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei mnamo Mei 6 jijini Tehran .
Habari ID: 3478798    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/09

Hija
IQNA - Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza kanuni kali zaidi za Hija mwaka huu, inayolenga wale wanaoshiriki ibada ya Hija bila kibali na pia wale wanaowasaidia kukiuka sheria
Habari ID: 3478797    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/09

Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangazwa kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake wa nchi za Marekani, Uingereza na Wamagharibi kwa ujumla.
Habari ID: 3478791    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08

Hija
IQNA – Daktari wa magonjwa ya akili anaashiria matatizo matatu ya kiakili yanayoweza kuvuruga safari ya kiroho ya Hija, akiwataka mahujaji kuyahutubia kabla ya safari.
Habari ID: 3478784    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/07

Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangaza kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake.
Habari ID: 3478779    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06

Hija 1445
IQNA - Huku zaidi ya Waislamu  ilioni 2 wakitarajiwa kuwasili baadaye mwezi huu kwa ajili ya ibada ya Hija katika mji mtakatifu wa Makka, wakuu wa Saudi Arabia wameimarisha maandalizi ya ibada hiyo ya kila mwaka.
Habari ID: 3478777    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Hija 2024
IQNA Afisa wa ngazi za juu wa Msafara wa Hija wa Iran amewataka Wairani wanaolekea katika ibada ya Hija mwaka huu kuzingatia zaidi Qur'ani Tukufu, masaibu yanayowakumba Waislamu wa Gaza na suala la umoja wa Waislamu wakiwa katika ibada ya Hija
Habari ID: 3478775    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Hija
IQNA - Maelfu ya mahujaji kutoka Tehran ambao wanatazamiwa Kuhiji mwaka huu walihudhuria mafunzo Mei 4, 2024, katika ukumbi wa viti 12,000 wa Uwanja wa Azadi.
Habari ID: 3478773    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/05

Hija na Umrah
IQNA – Saudi Arabia imezindua kadi ya Nusuk siku ya Jumanne, ikisema kwamba itawezesha harakati za Mahujaji wote katika maeneo matakatifu.
Habari ID: 3478763    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/03

Hija
IQNA - Wanachama wa msafara wa Qur'ani wa Iran kwa ajili ya Hija mwaka huu wataondoka kuelekea Saudi Arabia Mei 15. Hayo yametangazwa wakati wa mkutano uliofanyika mjini Tehran siku ya Jumapili ili kuufahamisha msafara huo kuhusu misheni na shughuli zao wakati wa mahujaji wa Hija.
Habari ID: 3478749    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/29

Hija
IQNA - Zaidi ya Wairani 83,000 wataelekea Saudi Arabia kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3478723    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/23

Umrah 1445
IQNA - Afisa wa Hijja wa Iran amelitaka kundi la kwanza la Wairani walioelekea Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umra kuwakumbuka Wapalestina hasa wa Gaza katika dua wakiwa aktika ardhi takatifu.
Habari ID: 3478718    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Hija na Umrah
IQNA – Serikali ya Saudi Arabia imefafanua masharti ya viza ya Umra, ikibainisha kuwa wote wanaoshiriki katika ibada ya Hija ndogo ya Umra wanapaswa kuondoka nchini humo huo kufikia Juni 6.
Habari ID: 3478705    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/20

Hija na Umrah
IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
Habari ID: 3478698    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/18

Hija 1445
IQNA - Usajili umefunguliwa kwa raia wa Saudi au wakaazi nchini walio tayari kushiriki katika ibada ya Hija ya mwaka 1445 Hijria/ 2024.
Habari ID: 3478344    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Turathi
IQNA - Mradi wa ensaiklopidia unatekelezwa ili kuweka kumbukumbu za historia ya Hija na Misikiti Miwili Mitukufu (Msikiti Mkuu wa Makka na Msikiti wa Mtume huko Madina) kutoka enzi ya kabla ya Uislamu hadi leo.
Habari ID: 3478292    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Hija 1445
IQNA - Saudi Arabia imeanza kupokea maombi kutoka kwa mahujaji wa kigeni wanaotaka kuhiji 2024, hija ya kila mwaka ya Kiislamu kwenda Mecca.
Habari ID: 3478096    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26