hija - Ukurasa 10

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Hija na Umrah nchini Saudi Arabia amefutwa kazi leo ijumaa miezi kadhaa kabla ya ibada ya hija kufanyika.
Habari ID: 3473729    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/12

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa afya nchini Saudi Arabia wametangaza kuwa kila Mwislamu ambaye anapanga kutekeleza Ibada ya Hija ni sharti athibitishwe kuwa amepata chanjo dhidi ya COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473695    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/02

TEHRAN (IQNA) – Benki moja ya Kiislamu nchini Nigeria imezindua mpango wa kuwahimiza Waislamu kuweka akiba ya fedha za kutumika kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija ambayo ni katika nguzo za Uislamu.
Habari ID: 3473677    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23

TEHRAN (IQNA) –Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ibada ya Hija ni wajibu kwa kila Mwislamu mwenye uwezo wa kifedha na kiafya.
Habari ID: 3473031    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04

TEHRAN (IQNA) – Mwaka huu janga la corona au COVIDI-19 limepelekea ibada Hija iwe tafauti na pia sherehe za Idul Adha kote duniani zimetafuatiana na miaka iliyopita. Hatua za kupunguza idadi ya mahujaji na kuweka vizingiti katika sherehe za Idi zimechukuliwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3473027    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03

TEHRAN (IQNA) – Kupunguzwa kwa kiasi kikubwa idadi ya Waislamu waliotekeleza ibada ya Hija mwaka huu kumeathiria vibaya sana uchumi wa Somalia ambapo hutegemea uuzaji wa mamilioni ya mifugo nchini Saudia wakati wa Hija.
Habari ID: 3473022    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wameanza kutekeleza ibada katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3473014    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Katika matukio ya sasa ya Marekani na harakati ya kupinga ubaguzi wa rangi iliyopo, msimamo wetu thabiti ni wa kuwaunga mkono wananchi na kulaani mwenendo wa kikatili wa utawala wa ubaguzi wa rangi wa nchi hiyo."
Habari ID: 3473011    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija wamewasilia katika mji mtakatifu wa Makka kutoka maeneo mbali mbali ya Saudi Arabia huku kukiwa na hatua kali za kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3473007    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wamewasili katika mji mkuu wa Makka, kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3473003    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26

TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Saudia wamesema Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al-Masjid Al-Ḥaram, hautafunguliwa wakati wa Swala wa Idul Adha mwaka huu kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472991    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23

TEHRAN (IQNA)- Sherehe imefanyika mjini Makka Jumapili kubadilisha pazia la al-Kaaba Tukufu linalojulikana kama Kiswa baada ya kuwadia mwezi wa Dhul Hija ambao ni mwezi wa kutekeleza Ibada ya Hija.
Habari ID: 3472988    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22

TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itaweka faini kali na vifungo vya jela kwa watu na mashirika ambayo yatawasafirisha mahujaji wasio na kibali cha Hija.
Habari ID: 3472983    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20

TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa ufalme wa Saudi Arabia wametangaza protokali na kanuni za kiafya zitakazotumika katika ibada ya Hija mwaka huu ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472934    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06

TEHRAN (IQNA) – Msomi na mhadhiri wa chuo kikuu nchini Kuwait ameibua utata katika mitandao ya kijamii baada ya kusema hatua ya Saudia wa kupunguza idadi ya mahujaji mwaka huu itaubadilisha Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid al Haram, kuwa sawa na jumba la makumbusho.
Habari ID: 3472898    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25

TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amepongeza uamuzi wa Saudi Arabia wa kupunguza kabisa idadi ya mahujaji na kuwazuia mahujaji wa kimataifa kuingia nchini humo.
Habari ID: 3472897    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Iran amesema wairani ambao walikuwa wamejisajili kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu watahiji mwakani, Inshallah, baada ya Saudia kutangaza kufuta ibada ya Hija mwaka huu kwa wasafiri wa kimataifa.
Habari ID: 3472894    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24

TEHRAN (IQNA) - Ufalme wa Saudi Arabia umetangaza rasmi kwamba ibada ya Hija mwaka huu itatekelezwa na watu wachache sana ambao ni raia na wakazi wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472890    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/23

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia imetangaza kuwa hata baada ya amri ya kutotoka nje kufutwa kitaifa lakini marufuku ya Ibada ya Umrah itaendelea kutekelezwa.
Habari ID: 3472885    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/21

TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia inatafakari kufuta ibada ya Hija mwaka huu kutokana na kuenea janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3472862    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13