TEHRAN (IQNA) - Ufalme wa Saudi Arabia umetangaza rasmi kwamba ibada ya Hija mwaka huu itatekelezwa na watu wachache sana ambao ni raia na wakazi wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472890 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/23
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia imetangaza kuwa hata baada ya amri ya kutotoka nje kufutwa kitaifa lakini marufuku ya Ibada ya Umrah itaendelea kutekelezwa.
Habari ID: 3472885 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/21
TEHRAN (IQNA) - Saudi Arabia inatafakari kufuta ibada ya Hija mwaka huu kutokana na kuenea janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3472862 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13
TEHRAN (IQNA) – Kamati ya Hija ya India imesema Waislamu nchini humo hawataweza kusafiri hadi mji wa Makka, Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472842 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Indonesia imesema raia wa nchi hiyo mwaka huu hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija kutokana na hofu ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472827 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02
TEHRAN (IQNA) - Kumezinduliwa Kampeni ya Kimataifa ya kutaka misikiti miwili mitakatifu ya Makka na Madina isimamiwe kimataifa na nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3472817 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/30
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Idara ya Hija na Ziyara ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelezea matumaini yake kuwa, janga la COVID-19 au corona litamalizika utakapowadia msimu wa joto na kwamba Hija itafanyika kama ilivyopangwa. Hatahivyo ameongeza kuwa, Iran iko tayari kwa hali yoyote itakayojitokeza kuhusu Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3472643 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
Hofu ya corona
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Hija wa Saudi Arabia amewataka Waislamu kote duniani kusitiha kwa muda maandalizi ya ibada ya mwaka huu ya Hija hadi pale hali ya mambo kuhusiana na maambukizi ya virusi vya corona duniani itakapobainika vyema.
Habari ID: 3472623 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/01
Kiongozi Muadhamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amefafanua kuhusu misingi ya fikra za Kiislamu na malengo yake kukiwemo kusimama imara kwa Jamhuri ya Kiislamu na kusema hiyo ni nukta inayoivutia dunia.
Habari ID: 3472390 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/20
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Hija na Ziyara la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo ameelekea Saudi Arabia kufuatia mwaliko rasmi wa Waziri wa Hija na Umrah wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472261 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/08
TEHRAN (IQNA) - Huduma ya treni ya mwendo kasi itaanza kutumika kwa mara ya kwanza mwaka huu katika Ibada ya Hija.
Habari ID: 3472076 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/09
TEHRAN (IQNA) - Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, al Kaaba leo wameelekea Mina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya siku ya Tarwiya hiyo kesho tarehe 8 Dhilhaji katika eneo hilo tukufu.
Habari ID: 3472075 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/09
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema serikali ya Saudi Arabia ina wajibu na majukumu mazito ya kulinda usalama wa mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu na hadhi yao bila ya kueneza anga ya kipolisi.
Habari ID: 3472031 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/03
TEHRAN (IQNA) – Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zimesaini Mapatano ya Maelewano (MOU) kuhusu kushiriki Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu wa 1440 Hijria na 2019 Miladia.
Habari ID: 3471777 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/19
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu 1439 Hijria
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika ujumbe wake kwa Mahujaji kwamba sera za Marekani ni kuchochea vita baina ya Waislamu na akasisitiza kwamba: inapasa kuzizima sera hizo za kishetani kwa umakini na kuwa macho na kwamba Hija na kujibari na washirikina vinawezesha kupatikana umakini huo.
Habari ID: 3471639 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/20
Ndani yake zipo Ishara zilizo wazi - masimamio ya Ibrahim, na mwenye kuingia humo anakuwa katika amani. Na kwa ajili ya Mwenyezi Mungu imewajibikia watu wahiji kwenye Nyumba hiyo, kwa yule awezae njia ya kwendea. Na atakaye kanusha basi Mwenyezi Mungu si mhitaji kwa walimwengu. Suurat Al 'Imran Aya ya 97
Habari ID: 3471638 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/20
TEHRAN (IQNA)- Nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu zimesambazwa miongoni mwa Waislamu waliofika katika Msikiti wa Makka maarufu kama Masjid al-Haram katika msimu wa Hija mwaka huu.
Habari ID: 3471632 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/17
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Qatar hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija kwa mwaka wa pili mfululizo kutokana na idadi kubwa ya vizingiti ambavyo vimewekwa na utawala wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3471626 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa misikiti miwili mitukufu zaidi katika Uislamu ni ya Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3471596 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/16
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa itatuma msafara wa Qur'ani Tukufu, katika Ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471591 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/12