TEHRAN (IQNA)- Hatimaye baada ya mashinikizo, Saudi Arabia imeafiki kufungua mpaka wake wa pamoja wa ardhini na Qatar kuruhusu mahujaji kutoka nchi hiyo kuelekea kwenye ardhi tukufu za Makka na Madina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija ya mwaka huu.
Habari ID: 3471128 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/18
TEHRAN (IQNA)-Mabuddha nchini Myanmar wamewazuia Waislamu 21 wa kabila la Rohingya kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3471117 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/10
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Trinidad na Tobago wametoa wito kwa wasimamizi kwa mamlaka ya viwanja wa ndege nchini humo ichukue hatua za dharura za kuwaandalia Mahujaji chumba maalumu cha kusali.
Habari ID: 3471113 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471094 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30
TEHRAN (IQNA)-Raia 6,000 wa Kenya wanatazamiwa kushiriki katika Ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470917 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/04
TEHRAN (IQNA)-Wairani zaidi ya 85,000 wanatazamiwa kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu kufuatia mapatano baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia.
Habari ID: 3470899 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/18
IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejibu mwaliko rasmi uliotumwa na Saudi Arabia kuhusu kushiriki katika mazungumzo kujadili kadhia kushiriki tena Wairani katika ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470801 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/18
Ufalme Saudi Arabia umeiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika mazungumzo kuhusu kuwawezesha tena Wairani kutekeleza ibada ya Hija.
Habari ID: 3470766 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/30
Nyaraka za Siri
Huku Saudi Arabia ikijaribu kudai kuwa Ibada ya Hija iliandaliwa kwa mafanikio mwakubwa mwaka huu bila tatizo lolote, ripoti iliyovuja inaonyehsa kuwa mahujaji zaidi ya 800 walifariki wakati wa Hija.
Habari ID: 3470571 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19
Balozi wa Uingereza nchini Saudi Arabia, Simon Collis, ametekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusilimu.
Habari ID: 3470563 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/14
Khatibu wa Sala ya Idul Adha Tehran
Khatibu wa Sala ya Idul Adha Tehran amesema watenda jinai katika ukoo wa Aal Saud wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama ya Kiislamu na kuadhibiwa kutokana na maafa ya Mina katika ibada ya Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470560 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala khabithi wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu za Waislamu.
Habari ID: 3470552 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07
Myanmar inaendeleza sera za kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo na kwa mara nyingine mwaka huu imewazuia kwenda kutekeleza ibada tukufu ya Hija Waislamu ikiwa ni mwaka wa kumi mfululizo kufanya hivyo.
Habari ID: 3470551 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma Ujumbe muhimu kwa Waislamu duniani na hasa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah mwaka huu 1437 Hijria). Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo.
Habari ID: 3470550 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/05
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran kamwe hawatasahu maafa ya mauti ya kuogofya ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470545 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02
Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran
Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
Habari ID: 3470467 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/21
Maafisa wa ngazi za juu katika ufalme wa Saudi Arabia wamekuwa wakiingiza dawa za kulevya nchini humo kwa kutumia mabasi yanayowabeba mahujaji, imefichuliwa.
Habari ID: 3470436 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06
Rais Rouhani wa Iran
Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3470348 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/31
Saudi Arabia imeweka vizingiti na kuwazuia wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3470344 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/29
Molawi Abdul Hamid Ismail Zehi, Imamu wa Msikiti wa Masunii wa Makki mjini Zahedan kusini mashariki mwa Iran amesema hatua ya Saudia kuwazuia Mahujaji Wairani mwaka huu si kwa maslahi ya Umma wa Waislamu.
Habari ID: 3470330 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23