Utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa Bahrain umeendeleza ukandamizaji mkubwa kwa kumvua uraia mwanazuoni mkubwa na mashuhuri wa Kiislamu nchini humo Ayatullah Issa Ahmad Qasim.
Habari ID: 3470404 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/21
Katika kuendelea ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain, wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa wamemtia mbaroni Nabil Rajab, mkuu wa kituo cha haki za binadamu nchini humo.
Habari ID: 3470381 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/13
Watu wa Bahrain wamefanya maandamano wakitangaza mfungamano wao na wafungwa wengine wa kisiasa nchini humo.
Habari ID: 3470281 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01