iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo kuwa taifa la Iran litaendelea kusimama kidete dhidi ya maadui wote kwa ajili ya kutetea taifa linalodhulumiwa la Palestina.
Habari ID: 3470435    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Leo ni Siku Kuu ya Idul Fitr; baada ya siku 30 za Mwezi wa Ramadhani wenye baraka tele na neema nyingi za Mwenyezi Mungu pamoja na baraka zake za kimaanawi. Huu ni mwanzo halisi wa kuelekea katika ubora wa mwanadamu. (Ayatullah Khamenei: 13/10/2007)
Habari ID: 3470433    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/05

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
Habari ID: 3470430    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu kote duniani watajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulimiwa.
Habari ID: 3470424    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi amesema magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake, Iran imeweza kuwalemaza.
Habari ID: 3470415    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/26

Kiongozi Muadhamu Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.
Habari ID: 3470413    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
Habari ID: 3470406    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameainisha malengo ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kuifanya Iran kuwa na nguvu, heshima na huru na kusema kuwa vyuo vikuu ni msingi mkuu wa kufanikisha malengo hayo.
Habari ID: 3470398    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.
Habari ID: 3470389    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, umaridadi na ujamali uliomo katika maneno ya Qur'ani Tukufu ni muujiza na ni mlango wa kuvutiwa na mafundisho aali na yenye maana pana ya aya hizo.
Habari ID: 3470368    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tunapaswa kutumia uzoefu wa mazungumzo ya nyuklia yaliyothibitisha kuwa Marekani haiwezi kuaminika na hivi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ichukue mkondo wake wa ustawi.
Habari ID: 3470356    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.
Habari ID: 3470340    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama kidete, kutomfuata adui na kulinda utambulisho wa kimapinduzi na Kiislamu ni sababu kuu za kuwa na nguvu mfumo wa Kiislamu na taifa la Iran na kwamba, Marekani na madola mengine makubwa yamekasirishwa mno na jambo hili.
Habari ID: 3470334    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amemzawadia Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei nakala ya kale ya Qur'ani inayonasibishwa na Imam Ali Ali AS.
Habari ID: 3470333    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema nchi za Waislamu zinapaswa kupewa jukumu la vita dhidi ya ugaidi kwani ugaidi unanasibishwa kimakosa na Uislamu.
Habari ID: 3470332    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24

Habari ID: 3470323    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatano ameonana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaliyomalizika jana hapa mjini Tehran na kusema kuwa, Qur'ani ndio mhimili wa umoja wa umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3470319    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito kwa wasomi wa kidini kushiriki kilamilifu katika mambo yote yanayohusu nchi na jamii
Habari ID: 3470313    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usalama katika jamii una nafasi muhimu katika ustawi wa kiuchumi.
Habari ID: 3470301    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, jukumu muhimu kabisa la Umma wa Kiislamu ni kukabiliana na harakati ya ujahiliya inayoongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470295    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/05