Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hauza au Hawza (Chuo Kikuu cha Theolojia ya Kiislamu) inahitaji kuwa na mpango wa mabadiliko na marekebisho na kulitaja hitajio hilo kuwa muhimu katika mazingira ya sasa.
Habari ID: 3470594 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.
Habari ID: 3470593 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia umuhimu wa umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu na kusema kuwa, kuchochea makundi mengine ya Kiislamu kwa jina la Ushia kimsingi ni Ushia unaofadhiliwa na Uingereza.
Habari ID: 3470573 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema miongoni wa nukta muhimu za nguvu laini za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutoyaamini hata kidogo madola ya kibeberu, hasa Marekani.
Habari ID: 3470570 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala khabithi wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu za Waislamu.
Habari ID: 3470552 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07
Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma Ujumbe muhimu kwa Waislamu duniani na hasa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah mwaka huu 1437 Hijria). Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo.
Habari ID: 3470550 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amewasilisha sera jumla kuhusu familia ili zitekelezwe na vyombo vyote husika nchini Iran.
Habari ID: 3470547 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, msikiti unapaswa kuwa kituo cha kumjenga mwanadamu kukabiliana na adui, kuujenga moyo kimaanawi na kidunia, kuongeza muono na kuandaa mazingira kwa ajili ya kuleta ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470535 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asema mapatano ya nyuklia kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1 maarufu kwa kifupi JCPOA ni tajiriba inayoonesha kutokuwa na matunda wala faida kufanya mazungumzo na Marekani .
Habari ID: 3470486 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiisalmu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Kusini mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470437 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo kuwa taifa la Iran litaendelea kusimama kidete dhidi ya maadui wote kwa ajili ya kutetea taifa linalodhulumiwa la Palestina.
Habari ID: 3470435 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06
Leo ni Siku Kuu ya Idul Fitr; baada ya siku 30 za Mwezi wa Ramadhani wenye baraka tele na neema nyingi za Mwenyezi Mungu pamoja na baraka zake za kimaanawi. Huu ni mwanzo halisi wa kuelekea katika ubora wa mwanadamu. (Ayatullah Khamenei: 13/10/2007)
Habari ID: 3470433 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/05
Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
Habari ID: 3470430 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu kote duniani watajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulimiwa.
Habari ID: 3470424 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi amesema magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake, Iran imeweza kuwalemaza.
Habari ID: 3470415 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/26
Kiongozi Muadhamu Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.
Habari ID: 3470413 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
Habari ID: 3470406 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameainisha malengo ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kuifanya Iran kuwa na nguvu, heshima na huru na kusema kuwa vyuo vikuu ni msingi mkuu wa kufanikisha malengo hayo.
Habari ID: 3470398 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.
Habari ID: 3470389 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, umaridadi na ujamali uliomo katika maneno ya Qur'ani Tukufu ni muujiza na ni mlango wa kuvutiwa na mafundisho aali na yenye maana pana ya aya hizo.
Habari ID: 3470368 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/08