Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema utawala haramu wa Israel "iliangushwa" katika Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, operesheni kubwa zaidi ya kijeshi kuwahi kufanywa na makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina dhidi ya utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3477929 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/22
Watetezi wa Wapalestina
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: kadhia za Gaza zimewadhihirishia walimwengu hakika nyingi zilizofichika, na moja wapo ya hakika hizo ni uungaji mkono wa viongozi wa nchi za Magharibi kwa ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3477916 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/19
Fikra
TEHRAN (IQNA) – Wanafalsafa na wanafikra wa Kiislamu pia wamekuwa wakitilia maanani maendeleo ya ummah Kiislamu pamoja na kujihusisha na fikra za kina za kifalsafa.
Habari ID: 3477905 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/17
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na ujumbe alioandamana nao wamekutana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei.
Habari ID: 3477847 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/06
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika kueleza mafanikio ya subira na kusimama kidete Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Watu wa Ghaza wameamsha dhamiri ya mwanadamu kwa subira yao.
Habari ID: 3477822 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01
Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Licha ya uungaji mkono wa watu waovu wa dunia na ushiriki wa Wamarekani katika uhalifu wa Wazayuni, ukatili na jinai hizi hatimaye hazitafua dafu, na katika kadhia hii na nyinginezo zijazo, ushindi utakuwa upande wa taifa la Palestina.
Habari ID: 3477788 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/25
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na kusisitiza kuwa, Palestina na Ghaza ni dhihirisho la nguvu za Uislamu.
Habari ID: 3477740 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/15
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utachapwa "kibao kikali zaidi" kwa mauaji inayoendelea kufanya dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza iliouwekea mzingiro.
Habari ID: 3477707 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatatu ameonana na wananchi wa mikoa miwili ya "Sistan na Baluchistan" na ule wa "Khorasan Kusini" na kusisitiza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesimama imara na kwa nia isiyotetereka katika kukakbiliana na adui.
Habari ID: 3477583 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran amesema kuwa, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ni taasisi kubwa zaidi ya kupambana na ugaidi duniani ambayo inafanya mambo makubwa ya kupigiwa mfano ambayo majeshi makubwa duniani yanashindwa kuyafanya.
Habari ID: 3477453 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja kazi yenye mafanikio na fahari iliyofanywa na Kundi la 86 la Wanamaji wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuzunguka dunia nzima kuwa ni matokeo ya kazi ngumu, nia thabiti, kujiamini, uwezo wa kubuni, maarifa ya hali ya juu ya kijeshi, uongozi bora na "ujasiri na kusimama imara mkabala wa mashaka ya aina mbalimbali."
Habari ID: 3477391 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/06
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
CAIRO (IQNA) - Kufuatia matukio ya mara kwa mara ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi na Denmark, Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito kwa Waislamu na nchi za Kiislamu kususia bidhaa za nchi hizo mbili za Ulaya.
Habari ID: 3477345 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kutovukiwa adabu matukufu ya Waislamu hasa Qur'ani Tukufu huko nchini Uswidi ni tukio chungu na ni njama hatari sana akisisitiza kuwa, aliyefanya jinai hiyo lazima aadhibiwe, na maulamaa wote wa Kiislamu wanaafikiana katika hilo.
Habari ID: 3477321 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa kizazi cha vijana, wakiwa ndio wamiliki na viongozi wa kesho wa nchi, kinapaswa kuwa kitovu cha mazingatio ya ubunifu wa matangazo yanayotegemea mbinu na zana za kisasa.
Habari ID: 3477273 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/12
Hija 1444
Maelfu ya waumini Waislamu wanaendeea kuondoka katika mji mtakatigu wa Makka baada ya kumaliza ibada ya killa mwaka ya Hija ambayo mwaka huu imesadifiana na msimu wa joto kali.
Habari ID: 3477218 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Hija 1444
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe muhimu kwa mnasaba wa msimu wa mwaka huu wa Hija akisema, umoja na umaanawi hivi sasa unakabiliwa na uadui na ukwamishaji mkubwa zaidi wa ubeberu, uistikbari na uzayuni.
Habari ID: 3477207 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/27
Mtazamo
Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah Musawi Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Ulimwengu wa Kiislamu uligubikwa na majonzi na huzuni kubwa kuutokana na kutangazwa kifo cha Imam.
Habari ID: 3477098 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amemtaja hayati Imam Ruhullah Khomeini (RA) kuwa ni miongoni mwa viongozi vinara wa historia.
Habari ID: 3477093 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Sultani wa Oman
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei alisema siku ya Jumatatu kuwa Iran na Oman zitanufaika kutokana na ushirikiano wa karibu wa pande mbili.
Habari ID: 3477067 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/29
Kiongozi Muadhamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amasema sheria ya kistratijia iliyopitishwa na Bunge la Iran mwaka 2020 ili kukabiliana na vikwazo iliiokoa nchi kutokana na "kuchanganyikiwa katika suala la nyuklia".
Habari ID: 3477038 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24