Mtazamo
Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah Musawi Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Ulimwengu wa Kiislamu uligubikwa na majonzi na huzuni kubwa kuutokana na kutangazwa kifo cha Imam.
Habari ID: 3477098 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amemtaja hayati Imam Ruhullah Khomeini (RA) kuwa ni miongoni mwa viongozi vinara wa historia.
Habari ID: 3477093 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Kiongozi Muadhamu katika Mkutano na Sultani wa Oman
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei alisema siku ya Jumatatu kuwa Iran na Oman zitanufaika kutokana na ushirikiano wa karibu wa pande mbili.
Habari ID: 3477067 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/29
Kiongozi Muadhamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amasema sheria ya kistratijia iliyopitishwa na Bunge la Iran mwaka 2020 ili kukabiliana na vikwazo iliiokoa nchi kutokana na "kuchanganyikiwa katika suala la nyuklia".
Habari ID: 3477038 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amegusia mpaka mrefu uliopo baina ya Iran na majirani zake kadhaa na kusema kuwa, maadui wameazimia kuzusha matatizo katika uhusiano wa Tehran na majirani zake, hivyo lazima tuwe macho na tusiruhusu kufanikiwa siasa zao hizo
Habari ID: 3477024 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maafisa wanaoshughulikia ibada ya Hija kwamba: Hija ni tukio la kimataifa na miadi ya dunia yenye manufaa mengi ya dunia na Akhera.
Habari ID: 3477008 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17
Sikukuu ya Idul Fitr
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika hotuba za Sala ya Idul Fitr amesisitiza kuwa, irada iliyoimarika kitaifa itatatua matatizo ya nchi.
Habari ID: 3476901 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: kinyume na matakwa ya adui, jamii ya wanachuo inapaswa kuleta mabadiliko akilini kulingana na uhalisia wa jamii ya Iran na kisha kuleta mabadiliko akilini kulingana uhalisia wa dunia na kuelekeza uono na juhudi zake katika upeo wa malengo ya muda mrefu.
Habari ID: 3476890 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Qarii wa Qur'ani ni mfikishaji wa ujumbe na risala ya Mwenyezi Mungu na ili kufikisha ujumbe huo kwa njia nzuri ana haja ya kuwa na sauti nzuri na usomaji bora kabisa.
Habari ID: 3476750 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelaani kitendo cha kutekwa nyara na kuuawa mwanachuoni wa Kisunni huko kusini mashariki mwa Iran na kusisitiza kuwa, watenda jinai waliotekeleza uhaini huo wanatumikia maslahi ya pande zinazopinga ustawi na umoja wa wananchi wa Iran.
Habari ID: 3476248 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/14
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa salamu za rambirambi kufuatia kuaga dunia Ayatullah Mohammad Ali Naseri, mwanazuoni mashuhuri wa maadili wa Iran aliyefariki dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 92.
Habari ID: 3475686 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/27
Qur'ani inasema Nini / 4
TEHRAN (IQNA) - Vitabu vitakatifu katika dini mbali mbali mara nyingi huzingatiwa kama chanzo cha kuimarisha hali ya kiroho ya mtu na hii inaeleweka kama fikra ya mwongozo lakini Quran Tukufu ina misingi ya kipekee kuhusiana na nukta hii.
Habari ID: 3475320 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo amekutana na makamanda wa Jeshi la Anga na Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ambako amesisitiza kuwa kuna udharura wa kufanyika Jihadi ya haraka ya kueleza na kubainisha ukweli na uhalisia wa mambo.
Habari ID: 3474906 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kutomuogopa adui na kusimama kidete dhidi yake ni katika maamrisho na maelekezo muhimu ya Qurani Tukufu.
Habari ID: 3472706 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Nairuzi*
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameutaja mwaka mpya wa Kiirani wa 1399 Hijria Shamsia ulioanza leo nchini Iran kuwa ni Mwaka wa Ustawi Mkubwa katika Uzalishaji na kusema: Hatua kubwa ya uzalishaji inapaswa kuleta mabadiliko yanayohisika katika maisha ya wananchi.
Habari ID: 3472584 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza namna malengo ya uadui wa nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kimsingi yasivyo na tofauti na ya adui Marekani na kueleza kuwa: Nchi za Ulaya kidhahiri zinajidhihirisha kuwa patanishi na kusema maneo mengi lakini yote hayo ni maneno matupu.
Habari ID: 3472148 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, matembezi ya Arubaini yanaendelea kuchukua sura ya kimataifa na kuongeza kuwa: "Ujumbe wa Imam Hussein AS ni wa kuikomboa dunia kutoka katika utawala wa kambi ya ukafiri na uistikbari."
Habari ID: 3472137 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kuendelea kudhoofika mpaka leo vyombo vya mikakati na mahesabu vya Marekani ni ukweli halisi wa mambo na akafafanua kwa kusema: "Baadhi ya viongozi wa Marekani hujifanya na hutaka waonekane wendawazimu, tab'an mimi hili sikubaliani nalo, lakini lililo hakika, wao ni "wapumbavu wa daraja la kwanza".
Habari ID: 3471802 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullha Sayyed Ali Khamenei ametuma salamu za rambirambi kwa familia za mashahidi wa tukio chungu la hujuma ya kigaidi katika mji wa Ahvaz kusini mwa Iran leo asubuhi.
Habari ID: 3471686 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa misikiti miwili mitukufu zaidi katika Uislamu ni ya Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3471596 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/16