Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kisa kilichojaa machungu na kuzijeruhi nyoyo za watu kutokana na dhulma wanayofanyiwa raia wa Palestina wenye uvumilivu, subira na mapambano, kinamgusa kila mwanadamu mpigania uhuru, haki na uadilifu kote duniani.
Habari ID: 3470862 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Marekani inatumia hila ya kurudia rudia vitisho vya kuishambulia kijeshi Iran ili kuwatoa viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu katika uwanja wa vita vya kweli ambavyo ni vita vya kiuchumi.
Habari ID: 3470851 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Waziri Mkuu wa Sweden
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, matatizo yote ya eneo la Mashariki ya Kati ni uingiliaji wa baadhi ya madola makubwa ikiwemo Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili.
Habari ID: 3470844 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/11
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA:Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran litajibu vitisho vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ijumaa ijayo.
Habari ID: 3470839 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amepongeza kujitolea kwa wahudumu waumini na mashujaa wa kikosi cha zimamoto katika tukio la kuungua na kuporomoka jengo la kibiashara la Plasco jijini Tehran.
Habari ID: 3470822 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran inapaswa kuendelea kuimarisha nguvu zake ili kukabiliana na maadui.
Habari ID: 3470763 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Pamoja na kuwa waitifaki wa utawala wa Kizayuni wanaibua migogoro mara kwa mara ili kadhia ya Palestina isahaulike, lakini ardhi hii takatifu itakombolewa kwa baraka za muqawama na jihadi ya taifa na makundi ya Palestina".
Habari ID: 3470743 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14
Kiongozi Muadhamu:
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, njia bora kabisa ya kuwa karibu na Mwenyezi Mungu ni kushikamana na Sala na kusoma Quráni.
Habari ID: 3470741 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani daima inapinga nguvu na kupata uwezo nchi za Kiislamu ikiwemo Iraq na kamwe hatupaswi kuhadaika na dhahiri na tabasamu za Wamarekani.
Habari ID: 3470736 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/12
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuna haja ya kufanyika hima na juhudi za kuifahamu na kuitambulisha Swala katika nafasi yake inayostahiki na amali za mtu binafsi ziendane nayo.
Habari ID: 3470727 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisistiza kuwa makundi yatendayo jinai ya kitakfiri, kwa mara nyingine yametekeleza hujuma kwa woga na kwa njia ya kuogofya na hivyo kuonyesha uso wao khabithi na wa kishetani kwa wote
Habari ID: 3470700 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua ya Marekani kurefusha vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka 10 zaidi, bila ya shaka yoyote ni uvunjaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.
Habari ID: 3470694 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matukio machungu na ya kusikitisha katika eneo na nafasi ya baadhi ya madola makubwa katika kulazimisha ukosefu wa uthabiti na vita katika mataifa.
Habari ID: 3470691 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikishuhudia uadui kutoka kwa vyama viwili vikuu vya Marekani.
Habari ID: 3470680 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa moyo na fikra za kimapinduzi, ushujaa, ujasiri na uchapakazi, kuona mbali, ubunifu, kuwa na matarajio ya mustakbali mwema, kutoogopa na kutosalimu amri mbele ya adui vitatatua matatizo ya nchi hii.
Habari ID: 3470648 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/02
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ugaidi ni miongoni ma masaibu yanayoiumiza sana jamii ya mwanadamu.
Habari ID: 3470637 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema nchi zenye misimamo huru zinapaswa kuimarisha uhusiano baina yao na kutoathiriwa na siasa za madola ya kibeberu na Kiistikbari ili kuweza kuzima moto wa hitilafu na mapigano uliowashwa na madola hayo.
Habari ID: 3470635 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/25
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, dhana iliyotawala kwamba Marekani ni nchi isiyoweza kushindwa, ilikuwa ni kosa kubwa na kwamba makosa ya kujirudia ya Marekani katika eneo yameifanya ishidwe.
Habari ID: 3470629 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maudhui ya utandawazi na maagizo ya Wamarekani na watu wa Ulaya wanaoitaka Iran kujiunga na eti "familia ya kimataifa" ni mfano wa wazi wa kuzalishwa tena utamaduni wa kuwa tegemezi.
Habari ID: 3470621 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.
Habari ID: 3470599 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04