iqna

IQNA

IQNA – Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu katika Jamhuri ya Tatarstan katika Shirikisho la Urusi (Russia) imetangaza kuandaliwa kwa mfululizo wa sherehe adhimu na shughuli za kidini na kitamaduni kwa ajili ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bwana Mtume Muhammad (SAW).
Habari ID: 3481158    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

TEHRAN (IQNA)- Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tatarstan katika Shirikisho la Russia, Marat Khusnullin, ameidhinisha mpango wa kusherehekea mwaka wa 1,100 tokea Uislamu uingie eneo hilo.
Habari ID: 3474682    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16