TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mawasiliano wa utawala haramuIsrael, Yoaz Hendel, amekiri kuwa hitilafu iliyoathiri tovuti kadhaa rasmi ni matokeo ya shambulio la mtandao lililofanywa na wadukuzi, ambalo lililenga tovuti za utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3475044 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15