Aya ya 55 ya Surah Al-Ma’idah ya Qur’ani Tukufu inasema kwamba “Walii wenu” ni Mwenyezi Mungu tu, Mtukufu Mtume (s.a.w), na wale wanaotoa Zaka wakati wakisujudu katika Sala.
Habari ID: 3479008 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Aya ya 21 ya Surah Al-Kahf inabainisha kwamba kujenga msikiti katika makaburi ya watu watukufu na mawalii wa Mwenyezi Mungu sio tu inajuzu bali pia ni jambo ambalo inapendekezwa (Mustahabb).
Habari ID: 3475871 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02
Magaidi wa kundi la Kitakfiri la Daesh au ISIS wamebomoa makaburi mawili ya kale ya Mawalii wa Allah SWT katika mji wa kihistoria wa Palmyra mkoani Homs nchini Syria.
Habari ID: 3318384 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/24