iqna

IQNA

unesco
Ustaarabu wa Kiislamu
MASHHAD (IQNA) – Ninafumba macho yangu na mbele yangu naona Haram Takatifu (kaburi) yenye kubaa linalong’aa kwa utukufu wakati machweo yanapoingia.
Habari ID: 3477614    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) – Utawala haramu wa Israel unapanga kuteka maeneo ya kiakiolojia ya Wapalestina kote Ukingo wa Magharibi, Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) ilionya.
Habari ID: 3477292    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/16

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Palestina anasema takriban wakazi 13,000 Wapalestina katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu huenda wakalazimika kuyahama makazi yao kutokana na sera za utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476398    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

TEHRAN (IQNA)- Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu , Sayansi na Stamaduni UNESCO limeitangaza rasmi tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa siku ya Kiswahili Duniani.
Habari ID: 3474641    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473722    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/10

TEHRAN (IQNA)- Swala ya kwanza ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Hagia Sophia, Istanbul Uturuki baada ya zaidi ya miaka 86.
Habari ID: 3472995    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/24

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limethibitisha tena kwamba msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu ni milki ya Wapalestina.
Habari ID: 3470620    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/19

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni UNESCO limepitisha azimio na kusema Msikiti wa Al Aqsa ni milki ya Waislamu kwamba Mayahudi hawana haki katika msikiti huo.
Habari ID: 3470611    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/14

Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeitaja kuwa bandia habari iliyoenezwa kuwa limeitaja dini tukufu ya Kiislamu kuwa ndiyo dini ya amani zaidi duniani.
Habari ID: 3470453    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/13

Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limekosoa uchokozi wa wazi wa utawala haramu wa Israel katika ardhi za Wapalestina unazozikalia kwa mabavu hasa katika msikiti wa al Aqsa ulio katika mji Quds au Jerusalem.
Habari ID: 3391462    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/21