iqna

IQNA

Kiongozi wa Kiislamu wa nchini Senegal ametaka kutekelezwa “Jihadi ya Kijani” dhidi ya uchafuzi wa mazingira, akiliomba bunge la nchi hiyo na pia jamii nzima ya Waislamu kushiriki katika kile alichokiita jukumu la wazi la Kiislamu la kulinda mazingira.
Habari ID: 3341790    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/13