iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Ayatullahil Udhma Khamenei Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inazinyooshea mkono wa urafiki serikali zote za Kiislamu za eneo na wala haina tatizo lolote na serikali za Kiislamu.
Habari ID: 3345403    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/18

Rais Hassan Rouhani wa Iran
Rais Rouhani amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na changamoto hizo ni kurejea kwenye umoja wa Waislamu duniani na kujitenga na mirengo iliyopotoka.
Habari ID: 3344480    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15