jinai - Ukurasa 3

IQNA

Jeshi la utawala haramu wa Israel limeendeleza mauaji ya umati katika eneo la Ukanda wa Ghaza hii leo kwa siku ya 28 mtawalia na kuifanya idadi ya mashahidi wa hujuma hiyo kukaribia 2,000.
Habari ID: 1435964    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04

Huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza jinai za kivita na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi wala hatia huko katika Ukanda wa Ghaza, Marekani imejitokeza wazi kuunga mkono kwa hali na mali jinai za utawala huo bandia.
Habari ID: 1435160    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/02

Hatimaye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Julai 20 lilivunja kimya chake na kudai kuwa linasikitishwa na idadi kubwa ya raia wanaouliwa na kujeruhiwa huko Ukanda wa Ghaza na kutaka kusimamishwa mara moja kile ilichokitaja kuwa ni uhasama.
Habari ID: 1432292    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/22