Hatimaye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Julai 20 lilivunja kimya chake na kudai kuwa linasikitishwa na idadi kubwa ya raia wanaouliwa na kujeruhiwa huko Ukanda wa Ghaza na kutaka kusimamishwa mara moja kile ilichokitaja kuwa ni uhasama.
Habari ID: 1432292 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/22